Sunday, March 3, 2013

Tuesday, June 26, 2012

NGOMA MPYA YA LOLA MONROE "EXODUS 23:1 REMIX".

Femcee kutoka Taylor Gang Lola Monroe ambae kwa sasa amefanya kila mtu kumuongelea all over, Pia kwa mistari yake mikali inayong’ata kama nyuki na mitindo huru ikiwa imelenga kuleta ushindani. Lola Monroe ametangaza kivuli cheusi juu ya ushindani na  Pusha T kwenye single ya “Exodus 23:1 (Remix)”  “Hawa Malaya wote ni uchafu/ Wasingeweza kuja kweli kama it fu**ed them” Ni baadhi ya lines ya Lola Monroe for Exodus 23:1. Remix.

NGOMA MPYA YA LUPE FIASCO "BITCH BAD".


The full swag Emcee from Obama Land Lupe Fiasco anakuja na ngoma yake ya pili inayoitwa “Bitch Bad” kutoka kwenye album yake ya Food & Liqour II. Album hiyo ya Mkali Lupe Fiasco part II inatarajiwa kutoka Sepetemba 25.
 

Monday, June 25, 2012

MSHIRIKI WA EPIC BONGO STAR SEARCH AKITISHA NA GITAA LAKE.

Sunday, June 24, 2012

MILLIONI 50 KWA AJILI YAKO , NI WEWE TU KUFUNGUKA NA EBSS..ZANZIBAR


 MSHIRIKI MMOJA AKIWACHANGAMSHA WENZAKE
WASHIRIKI WAWILLI WAKITUPA FLEVA KIDOGO


 WASHIRIKI WAKIPIGA SOGA
MASTER JAY AKIMPA MKONO MPIGA PICHA MMOJA

MSHIRIKI AKIJARIBU KUPIGA NGOMA

WATOTO WALIOKUJA KUWAPA WASHIRIKI BURUDANI


WASHIRIKI WA EBSS WAKIENDELEA KUFUNGUKA ZANZIBAR


AWAICHI MAWALLA WA ZANTEL AKIIMBA KWA AJILI YA MAJAJI
WASHIRIKI WAKISIKILIZA KWA MAKINI MAELEZO WANAYOPEWA

 WASHIRIKI WAKISUBIRI ZAMU YAO MBELE YA MAJAJI
MADAM RITA AKISIMAMA KUMPONGEZA SALMA YUSUF KWA KUIMBA VIZURI


WASHIRIKI WAKIPANGA MSTARI KINGIA KWA MAJAJI

WASHIRIKI WA EBSS ZANZIBAR NAO WAFUNGUKA



MSHIRIKI WA KWANZA KUFIKA KWENYE USAHILI NGOME KONGWE, SALMA YUSUF AKIWEKA GUITAR YAKE
MSHRIKI TOKA DODOMA, DAYNA BROWN AKIJARIBU KWA MARA YA PILI HUKU ZANZIBAR.

WASHIRIKI WAKIFANYA MAZOEZI YA KUIMBA KABLA YA KWENDA KWA MAJAJI

MSURURU WA WASHIRIKI WAKIFANYA USAJILI KWA AJILI YA EPIQ BONGO STAR SEARCH

MHIRIKI AKIPOKEA NAMBA YAKE YA USHIRIKI


Saturday, June 23, 2012

MWANAMKE AWASHWA KWA PETROL NA X BOYFRIEND

HUYU NDIO MISS DAR INDIAN OCEAN

mshindi wa miss Dar Indian Ocean Diana Hussein


YANAYOJIRI

Takribani saa 18 tangu alipotamba runingani akimnadi mwanaye kuwa mambo safi, mama mzazi wa Wema Isaac Sepetu, Mariam Sepetu amejificha chumbani baada ya waandishi ‘vichwa ngumu’ kutinga nyumbani kwake wakitaka kufanya naye mahojiano 
Tukio hilo lililokuwa kama filamu ya kivita lilijiri nyumbani kwa mzazi huyo wa Wema, maeneo ya Sinza-Mori, Dar es Salaam Juni 20, mwaka huu, mchana kweupe wakati kukiwa na marudio ya kipindi alichotumia kumnadi mwanaye na kuwananga marafiki zake.
KWA HABARI ZAIDI INGIA http://www.globalpublishers.info

DOGO JANJA AREJEA KWA KISHINDO NDANI YA BONGO




Baada ya mapokezi hayo millardayo.com ilipata nafasi ya kuzungumza Exclusive na Dogo Janja ambae alisema amefurahishwa na hayo mapokezi na kusisitiza kwamba japo aliapa hatorudi kuja kusoma Dar wazazi wake wamemsihi kwamba zile zilikua hasira tu hivyo arudi Dar na aedelee na masomo kitu ambacho amekikubali kwa roho safi.
Janja amesema bado hajasaini mkataba mpya na WATANASHATI lakini kuna watu wake wawili anaowasubiri kwa ajili ya kuja kuupitia pamoja huo mkataba, baada ya hapo ndio atasaini kama amekubaliana nao na atatangaza.
Amesema amebadili mawazo na sasa atasoma Dar es salaam katika shule nzuri ambayo aliahidiwa na Ostaz Juma meneja wa Watanashati, atakua anapelekwa shule na kurudishwa nyumbani kwa gari, anachohitaji pia ni kusoma kwenye shule binafsi nzuri na pia swala lake la muziki kuzingatiwa.
kwenye sentensi nyingine amesema “sasa hivi nitakua naigiza na filamu pia na kina Kitale manake tuko nao kwenye kundi moja la watanashati”
Kwa kumalizia Janja amesema kauli mbiu ya wakati huu imebadilika “kauli mbiu ya wakati nilivyokujaga nilisema nawakalisha matembo sasa hivi nawalaza chali matembo”
HABARI NA MILLAR AYO

MAISHA BORA AU BORA MAISHA KWA KILA MTANZANIA??????



NU VIDEO: NAKUCHUKIA MWAKA JANA / IZZO B

HUYU NDIO MTOTO WA MSANII MR BLUE

Amempa jina la Sameer....God bless you

WISH ME THE BEST

AIBU GANI HIIIIIIIIII

Nilishangaa sana kuona gari hili mbele yangu nilipokuwa nikipita maeneo ya Namanga (Dar es salaam), nikajiuliza kama waswahili wenyewe hatujui kiswahili wageni wanaokuja watajifunza nini. Hili ni gari la wizara flani, kama wizarani hali ndio hii mmmh sijui....ngoj aniishie hapa.

MSAADA KWA WIZARA HUSIKA
KAMUSI YA KISWAHILI SANIFU ILIYOCHAPISHWA NA OXFORD TOLEO LA PILI 
shereheke.a   kt  fanya vitendo vya furaha ili kufurahikia au kuadhimishia tukio au jambo fulani

KAMA MFUPI MFUPI TU UREFU HAULETWI NA VIATU

kushoto ni Stamina na Shetta

Reactions: